Tuesday, December 20, 2011

MVUA KUBWA YASABABISHA MAFULIKO DAR



Mvua kubwa alionyesha usiku wakuakia leo Tarehe 20/12/2011 Dar yasababisha shughuli zakiuchumu kukwama kwamuda leo, pia mali za watu zaalibiwa vibaya na mvua hiyo.  maeneo ya bonde la jangwani ndio yalioalibiwa zaidi, pia yasababisha vifo vya watu takilibani wato.

KUAPISWA KWA RAIS KABILA


Mh. Mizengo Pinda auzulia kuapiswa kwa Rais Kabila kua Raisi wa DRC kwa awamu ya pili leo tarehe 20/12/2011

Thursday, December 15, 2011

david with lawyers at make




Always in the journey of life of education their is a need to refresh your mind as we do it at mabanda ya CCM in iringa Town with my fellow lawyers at make. 

maeneo ya neema crafts iringa

Nikiwa na wadau wa kazi